LIVER 2 Vs 0 MAN CITY

 

Liverpoll wameendeza wimbi lao la ushindi kwa kumchabanga kama sio kumrarua Machester City Magoli mawili kwa sifuri goli la kwanza limefungwa na Gapko akiunganisha pasi ya Salah na goli la pili limefungwa na Salah kwa mkwaju wa penati baada ya Luiz Diaz kuangushwa eneo la penati na golikipa wa City Ortega. 

Baada ya ushindi huo sasa Liverpool anaendelea kuongoza Ligi ya uingereza kwa pointi 34 na kumuacha Arsenal katika nafasi ya pili na pointi 25 akifuatiwa na Chelsea mwenye pointi 25 huku City akishika nafasi ya 5 na pointi 23.


#mpembatv

Comments